Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 2, 2014

RADIO UHURU WALIVYO UAGA MWAKA 2013 KWA RAHA ZAO


 Usiku wa kuamkia leo, wafanyakazi wa Uhuru FM, Redio ya wananchi waliamua kujiachia kivyao vyao katika Bonge la tafrija la kuuaga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka mpya. Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja. Pichani ni wafanyakazi hao wakigonga chiaaaaaaz!!
 burudani ilitawala tafrija hiyo...
 Kila mmoja aliinuka na kucheza
 Kaimu Mkurugenzi Maama Angela Akilimali nae hakutaka kubaki kitini aliongoza safu ya kusakata kwaito.
 Wengine wali show love namna hiii
 Dj Fast Edie nae alishow love na boss bila wasi wasi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...