Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 3, 2014

YALIYOJILI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA TASWA

viongozi wapya wa chama cha waandishi wa habari za michezo TASWA wakiwas katika picha ya pamoja
Katibu mkuu wa TASWA akipongezana na Mwenyekiti wake Juma Pito kulia ni Grecy Hoka
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini ambaye pia ni mwanachama wa TASWA Rajabu Mhamila 'Super D' akipiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa chama hicho
Reule Nyaulawa big Boss wa Times FM akiwa na mhariri wa michezo wa gazeti la Majira Selemana Mbuguni

Karatasi za kupigia kula zikitahalishwa

Peter Mwenda akipanga mapipa ya kutumbukizia kula



No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...