Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 24, 2013

Baby Madaha awaangukia mashabiki wake


Baby Madaha
 STAA wa filamu na muziki wa kizazi kipya nchini, Baby Madaha, amewaomba mashabiki wake kumpa sapoti wakati akifanya kazi chini ya kampuni ya Candy n Candy ya Kenya.
Aidha wimbo mpya wa msanii huyo aliyoutoa chini ya kampuni hiyo alioingia nao mkataba wa miaka miwili wa 'Summer Holiday' umeanza kubamba katika vituo vya redio na runinga baada ya kuusambaza.
Mkali huyo aliyewahi kutamba na wimbo wake ulokuja kuzaa albamu yake ya kwanza ya 'Amore', alisema anaomba sapoti ya mashabiki ili aweze kusonga mbele katika mwanzo wa mafanikio yake katika anga la kimataifa sasa akifanya kazi Kenya na Bongo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...