Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 21, 2013

WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WATEMBELEA ZBC REDIO RAHALEO MJINI UNGUJA LEO.


 Mkurugenzi wa ZBC Ndugu Hassan Mitawi akiwapatia maelezo baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusu matangazo kutoka kwenye analog kwenda kwenye Digitali katika ofisi za ZBC Radio Rahaleo Mjini Zanzibar leo. 
Muhariri Mkuu wa Shirika la Magazeti Bw. Abdalla Moh’d akiwaonyesha wajumbe wa Baraza la Wawakilishi jinsi utayarishaji wa gazeti kabla ya kuprintiwa, katika ziara ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Rahaleo Mjini Zanziabr leo. Picha na Dula Chaz wa Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...