Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 21, 2013

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE BUSEGA


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Lamadi kwenye Viwanja vya Kisesa wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu na kuwaambia wananchi kuwa muda wa walimu kuendelea kupata tabu umeisha na kuagiza mamlaka husika kutatua kero na madai ya walimu ndani ya miezi sita na kama wameshndwa wajiuzulu kupisha watu wengine.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Lamadi wilayani Busega kwenye Mkutano wa hadhara na kuwaambia wananchi wawe makini na makanjanja wa kisiasa ambao kwa sasa wamefunga ndoa batili kutaka kuvuruga mchakato wa kupata Katiba mpya.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...