Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, September 30, 2013

Simba yaua Ruvu JKT 2-0

A; YAICHAPA JKT RUVU 2-0
 Wachezaji wa Simba na Ruvu JKT wakisalimiana kabla ya pambano lao la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba imeshinda 2-0. (Picha na Francis Dande)
 Mshambuliaji wa Simba, Betram Mombeki akimiliki mpira huku akizongwana na wachezaji wa JKT Ruvu, Nashon Naftali (kulia) na Emmanuel Pius wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...