Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 21, 2013

CUF YAFANYA MKUTANO NA WANDISHI WA HABARI.


 Katibu Mkuu wa CUF Hamad Masoud (wakatikati) akizungumza na wandishi wa Habari kuelezea mambo mbilimbali yanayoendea Nchini, kulia Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Omar Ali Shehe na kushoto Mkurugenzi wa Haki za Binaadam Salum Bimani,katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja.
  Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Omar Ali Shehe wa kwanza kulia akielezea kitu kwa wandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu uwandikishaji wa Daftari la kudumu la wapiga Kura, katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja.

 Baadhi ya wandishi waliohudhuria katika Mkuta huo, katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja sep 19.

(Picha zote na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar).

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...