Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, September 30, 2013

MAMA SALMA KIKWETE APEWA URAIA WA HIARI WA JIMBO LA NEBRASKA NCHINI MAREKANI.


 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea hati ya uraia wa hiari wa Jimbo la Nebraska nchini Marekani iliyotolewa na Secretary of State wa Jimbo hilo Bwana John Gale. Anayekabidhi hati hiyo kwa Mama Salma ni Dkt. Marjorie Kastelnik, Dean, College of Education and Human sciences wa Chuo Kikuu cha Nebraska nchini Marekani
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, (WAMA), Mama Salma Kikwete akitoa keynote address kwenye' workshop on Viewing English Education through a Globalized Lens' iliyofanyika kwenye Chuo Kikuu cha Nebraska huko nchini Marekani.
 washiriki.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Dr. Dzingai Mutumbuka, Chairman of the Association for the Development of Education in Afrika and Former Minister of Education in Zimbabwe mara baada ya Mama Salma kuhutubia mkutano Global Education huko Nebraska nchini Marekani tarehe 28.9.2013. Picha na John Lukuwi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...