Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, May 29, 2014

MAANDALIZI MISS UKONGA 2014 YANAENDELEA








  Wasichana washiriki mashindano ya miss ukonga 2014 wilaya ya ilala jijini dar es salaam wapatao 16, ambapo kila mmoja ana ndoto za kuchukua ushindi.
warembo hao  wakiongea na mwandishi wa blog hii.walitaka
jamii hiyelewe  kuwa urembo siyo uhuni bali ni kipaji cha mtu kama vipaji vingine vilivyo hivyo wazazi wasiwakatalie watoto wao kushiriki
 mashindano hayo ya urembo kwani ni moja ya
ajira rasmi kama zingine..
katika mashindano hayo kwanza wanafundisha  maadili mema, nizamu, kujituma ,kushirikiana na jamii,kufanyakazi,pia nakujali imani ya mtu yeyote
warembo hao wamesama katika washiriki hao wengine ni wasomi wa vyuo vikuu ,kwani wemesama watakavyo pata nafasi hiyo itakuwa msaada kwa jamii  kuwa elimisha,tamaduni za

 asili ya tanzania na kuzitangaza nje 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...