Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, May 30, 2014

MAKAMU WA RAIA DKT. BILAL AFUNGUA KITUO CHA TIBA, UCHUNGUZI NA MAFUNZO YA MAGONJWA NA SARATANI ZA MATUMBO NA INI CHA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, JIJINI DAR LEO.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya Else Kronner Fresenius Stiftung, Prof. Konrad Mebmer (wa tatu kushoto) Mwenyekiti wa Mfuko wa Magonjwa ya mfumo wa Chakula Munich nchini Ujerumani, Prof. Meinhard Classen (kulia) na Balozi mdogo wa Ujerumani nchini Tanzania, Hans Koeppel, kwa pamoja wakikata utepe kuashiria kufungua rasmi Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Prof. Leonard Lema (wa pili kulia) kuhusu Mashine ya kuchunguza mfumo wa Hewa na Chakula, wakati Makamu alipokuwa akitembelea jengo jipya  la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili na kujionea mashine hizo, leo Mei 30, 2014. (wa pili kushoto) ni Mtaalam wa mfumo wa chakula, Edwaldo Komba.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Dkt. Rwegasha John, kuhusu Mashine ya kuchunguza mfumo wa Hewa na Chakula, inavyoweza kufanya kazi ya kugundua uvimbe ulio tumboni kwa mgonjwa, wakati Makamu alipokuwa akitembelea jengo jipya la  la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili na kujionea mashine hizo, leo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, leo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia baada ya kufungua rasmi jingo hilo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia baada ya kufungua rasmi jingo hilo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia baada ya kufungua rasmi jingo hilo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia baada ya kufungua rasmi jingo hilo.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali ya Muhimbili wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, alipokuwa akiwahutubia baada ya kufungua rasmi jingo hilo.
 Maskamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi mmoja kati ya washiriki waliosaidia ujenzi wa jengo jipya la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mwakilishi wa Taasisi ya Else Kronner Fresenius Stiftung, Prof. Konrad Mebmer, baada ya ufunguzi huo. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Hospitali hiyo. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na wahisani.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...