Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 24, 2014

MABONDIA WAPIMA UZITO KUTWANGANA JUMAMOSI MAY 24 MANZESE




Bondia Said Mbelwa akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake  leo na Karama Nyilawila wa kugombania ubingwa wa UBO katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Mabondia Abdalla Pazi kushoto na Seleman Galile wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambani wao wa leo jumambosi ya may 24 katika ukumbi wa frend corner manzese dar ea salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
BONDIA SELEMAN GALILE AKIPIMA UZITO
Mabondia Abdalla Pazi kushoto na Seleman Galile wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambani wao wa leo jumambosi ya may 24 katika ukumbi wa frend corner manzese dar ea salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 BONDIA SELEMAN GALILE
  BONDIA SELEMAN GALILE AKIPIMA AFYA KWA DAKTARI
BONDIA SELEMAN GALILE AKIPIMA AFYA KWA DAKTARI
Bondia Khalid Chokolaa kushoto akitunishiana misuli na Abdul Manyenza wakati wa upimaji uzito kwa ajili ya mpambano wao leo jumamosi ya may 24 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es saklaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...