Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 3, 2014

WANAHABARI 'MATESTER' WASHINDA UONJAJI BIA ZA TBL

 Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi (kushoto), akiwapongeza waandishi wa habari washindi wa uonjaji bia za kampuni hiyo katika mashindano yaliyofanyika baada ya kutembelea kiwanda hicho, Dar es Salaam juzi. Wa pili kushoto ni mshindi wa kwanza, Richard Makore wa gazeti la Nipashe, mshindi wa pili, Mnaku Mbani wa gazeti la Business Times na Denis Fusi wa gazeti la Habari Leo aliyeshika nafasi ya tatu.
Mpishi Mkuu wa Bia wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL) Dar es Salaam, Calvin Nkya (kulia) akimkabidhi zawad ya bia mshindi wa kwanza wa kuonja bia Richard Makore wa gazeti la Nipashe
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Editha Mushi (kulia) akimkabidhi zawadi ya bia Mwandishi wa habari wa gazeti la Business Times, Mnaku Mbani baada ya kuwa mshindi wa pili wa uonjaji bia.
Mpishi Mkuu wa Kiwanda cha Bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam, Calvin Nkya (aliyenyoosha mkono), akitoa maelezo ya jinsi bia zinavyotengenezwa kisasa wakati  wa ziara ya waandishi wa habari kiwandani hapo juzi, ambapo pia walishiriki katika shindano la kuonja bia
Mpishi Mkuu wa Kiwanda cha Bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam, Calvin Nkya (aliyenyoosha mkono), akitoa maelezo ya jinsi bia zinavyotengenezwa kisasa wakati  wa ziara ya waandishi wa habari kiwandani hapo juzi, ambapo pia walishiriki katika shindano la kuonja bia
Mpishi Mkuu wa Kiwanda cha Bia cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam, Calvin Nkya (aliyenyoosha mkono), akitoa maelezo ya jinsi bia zinavyotengenezwa kwa kutumia kompyuta wakati  wa ziara ya waandishi wa habari kiwandani hapo juzi, ambapo pia walishiriki katika shindano la kuonja bia
Wanahabari wakipata maelezo jinsi bia inavyochachuliwa
Wanahabari wakitembelea eneo la matanki ya kuchachulia bia
Baadhi ya waandishi wa habari wakiangalia vifaa maalumu vya kuhifadhia kimiminika cha bia kinachouzwa bila kuwekwa kwenye chupa katika hoteli mbalimbali, walipotembelea Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam juzi. Waandishi hao walishiriki katika mashindano ya kuonja bia za TBL.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...