MAZIKO ya
mwanamuziki wa zamani wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga
Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘Amigolas’ aliyefariki juzi amezikwa leo katika
makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhudhuria na mamia ya watu.
(PICHA: RICHARD BUKOS NA DENIS MTIMA/GPL)
No comments:
Post a Comment