Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya Marekani yaendesha kliniki ya masikio mkoani Arusha
MMOJA
wa wataalamu wa kuchunguza matatizo ya masikio,Stuart Specer kutoka
Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani inayoendesha
kliniki ya masikio aakitaniana na mkazi wa Arusha,Ally Abdulrahman
aliyewahi kuishi nchini humo ambaye kwa sasa ana matatizo ya kusikia
kwenye kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo
PalaceJijini Arusha jana
Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha (IAA)
waliokuja kujitolea wakisaidia kutoa huduma mbalimbali kwenye kliniki ya
masikio iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey
Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace
jijini Arusha jana
No comments:
Post a Comment