Tanga(NHIF)Ally Mwakababu kulia akimuelezea mikakati ya mfuko wa Afya
ya Jamii (CHF) Mkuu wa wilaya ya Kilindi,Suleimani Liwowa kulia kwake
kabla ya kufanya uzinduzi wa Uhamasishaji wa wananchi kujiunga na
Mfuko wa Afya ya Jamii wilayani humo (CHF) zoezi ambalo linaendeshwa
na Meneja huyo na maafisa kutokana makao makuu na mkoani Tanga kwa
muda wa siku kumi.
akizungumza na viongozi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa
Tanga(NHIF) na watumishi wa Halmashauri hiyo Idara ya Afya ofisini
kwake kabla ya kuanza uzinduzi wa uhamasishaji wananchi kujiunga na
mfuko wa Afya ya Jamii(CHF).
Kilindi,Daudi Mayeji akizungumza na viongozi wa Mfuko wa Taifa
wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) hawapo pichani waliomtembelea ofisini kwake kabla
ya kuanza uzinduzi wa uhamasishaji wilayani humo kulia kwake ni Meneja
wa Mfuko wa Bima ya Taifa Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu kushoto
ni Ofisa wa Mfuko huo kutoka makao makuu Isaya Shekifu.
Taifa Mkoa wa Tanga (NHIF) Miraji Swalehe akiwaelimisha waendesha
pikipiki kwenye kijiji cha Muheza Kata ya Masagalu wilayani Kilindi
juu ya umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza
kupata matibabu muda wote.
Taifa Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu akiwahimiza wananchi wa
Kijiji cha Muheza Kata ya Masagalu wilayani Kilindi umuhimu wa
kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) wakati wa uzinduzi wake
uliofanywa na Mkuu wa wilaya ya Kilindi,Suleimani Liwowa.
(CHF) tokea ulipoanzishwa wilayani humo akimuonyesha kadi zake Meneja
wa Mfuko wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu.
Liwowa akiwa kwenye picha ya pamoja na Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya
Mkoa wa Tanga(NHIF)Ally Mwakababu na maafisa wengine wa mfuko huo na
madereva wa pikipiki “Bodaboda”mara baada ya kuwakabidhi kadi zao za
uachama wa Kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).
Muheza Kata ya Masagalu wilayani humo wakati akiwahamasisha kujiunga
na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) wakati wa uzinduzi wake.
Mwisho.
No comments:
Post a Comment