Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 30, 2012

BIASHARA ITATOKA TUU ATA NIKIWA NIMELALA

Maisha popote pale iwe usiku iwe mchana mtu unaweza kujitafutia ridhiki yako ni mmoja ya wafanya biashara makutano ya Barabara ya Uhuru na Msimbazi akiwa ameuchapa usingizi huku akiwa katika biashara zake usiku wa leo wafanya biashara wengi wa machinga wamekuwa wakiwakwepa mngambo wakati wa mchana kutokana na kukamatwa na kupelekwa mahakamani kwa makosa ya kufanya bihashara hizo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...