Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, July 25, 2012

NMB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA JENGA MAISHA NA NMB


Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano NMB, Imani Kajula (kuhoto) akikabidhi zawadi kwa mshindi promosheni ya Jenga Maisha na NMB, Richard Makala ambaye amejishindia tani ya saruji katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Washindi wa Jenga Maisha na NMB wakabidhiwa zawadi zao kutoka kushoto ni Victoria Marisel, Ramadhan Mgunya, Rehema Mohamed, Rose Mandera na Richard Makala) kwenye suti ni Imani Kajula Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasilano. Hafla fupi ilifanyika tawi la NMB Airport jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...