Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 7, 2013

MASUPER STAA WA BONGO, WEMA, KAJALA, DULLY, TID NA WENGINE WAVAMIA KIOTA CHA THAI VILLAGE



IMG_4546
Pichani juu na chini ni Wema Sepetu akimpagawisha Sam Mapenzi wa Skylight Band
IMG_4552
Sam Mapenzi akimwimbia Wema Sepetu ndani kiota cha Thai Village kilichopo Masaki jijini Dar Juma lililopita.




IMG_4374
Binti mwenye kipaji cha aina yake Mary Lucos akitoa burudani huku akisindikizwa na mwimbaji mwenzake Digna.
IMG_4421
Superstar Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa na mrembo wa kizungu pamoja na JEMBE wakishow love mbele ya camera yetu.
IMG_4412
Maimatha wa Jesse akishow love na marafiki alipotinga kwenye kiota cha Thai Village kuanza week end yake na burudani za Skylight Band.
IMG_4370
Aneth Kushaba AK47 na Mary Lucos wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
.
IMG_4433
Sam Mapenzi akicheza sambamba na mashabiki wa Skylight Band..... palikuwa hapatoshi.
IMG_4456
Wema Sepetu akiwasili kiota cha Thai Village na kuwasabahi vijana wa Skylight Band kuonyesha kuwakubali kwa burudani yao.
IMG_4460
Furaha na tabasamu bashasha vilitawala usoni kwa mwanadada Wema Sepetu.
IMG_4471
IMG_4484
Kila mtu alijinafasi kwa style ya aina yake.....wenye kupinda mgongo haya kwa raha zao.
IMG_4494
Wema Sepetu akifurahi jambo na mashabiki wake ndani ya kiota cha Thai Village kilichopo Masaki jijini Dar.
IMG_4498
Mduara ulihusika kama kawaida.
IMG_4507
Wema Sepetu na Kajala wakibadilishana mawazo huku burudani ya Skylight Band ikiendelea.
IMG_4555
Petit Man naye hakukubali kulishindwa akamuonyesha Wema ufundi wake kwa kusakata Sebene la Skylight Band.
IMG_4473
Ukumbi ulilipuka ni nomaaa kama inavyoonekana pichani.
IMG_4477
Wadau wa Skylight Band bila kukosa wakiwakilisha Kijitonyama.
Wadau wa ukweli wenye mapenzi na Skylight Band camera yetu uliwamulika.
IMG_4482
Wasanii wa Bongo Flava kutoka kushoto ni Shetta, TID pamoja na Dully Sykes nao walikuja kula bata na Band ya vijana, wakubwa kwa watoto yenywe Swaggaz za ukweeeh Skylight Band.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...