Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 7, 2013

WAREMBO WA REDDS MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA MIKUMI




Mikumi mkoani Morogoro, Lidya Mandara akiwaPA MAELEZO warembo wa Redds Miss Tanzania 2013 juu ya bwawa la viboko na mamba lililopo katika hifadhi hiyo wakati warembo hao walipo tembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 
Afisa Msadizi wa uhamasishaji Utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi mkoani Morogoro, Lidya Mandara akiwapa maelezo warembo wa Redds Miss Tanzania 2013 juu ya bwawa la viboko na mamba lililopo katika hifadhi hiyo wakati warembo hao walipo tembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. 
Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2013 wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika hifadhi ya taifa Mikumi jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini.
Warembo wa Redd’s Miss Tanzania 2013 wakiruka kwa furaha mara baada ya kutembelea hifadhi ya Taifa Mikumi wakati warembo hao walipo tembelea hifadhi hiyo jana ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha utalii wa ndani nchini. (Picha na Intellectuals Communications Limted)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...