Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, December 29, 2013

Mdau Maggid Mjengwa azindua kitabu cha Simulizi za Mzee Mandela

  

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Ikolo Investment,Maggid Mjengwa akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhulia kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kitabu cha "Simulizi za Mzee Mandela" kilichoandikwa na Maggid Mjengwa mwenyewe.hafla hiyo imefanyika jioni ya leo kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Mgeni Rasmi Kwenye Uzinduzi huo,Ndugu Mobhare Matinyi akisisitiza jambo mbele ya wadau mbali mbali waliohudhulia kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kitabu cha "Simulizi za Mzee Mandela" kilichoandikwa na Maggid Mjengwa,hafla hiyo imefanyika jioni ya leo kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wadau waliokuwepo kwenye uzinduzi huo akiuza swali.
Wadau wakinunua vitabu hivyo vya  "Simulizi za Mzee Mandela" mara baada ya uzinduzi wake.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Ikolo Investment,Maggid Mjengwa akisaini kwenye vitabu hivyo vilivyonunuliwa na wadau hao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...