Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, December 18, 2013

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams atua nchini

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams
MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Will akiwasili nchini akitokea Italy

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Will  (kushoto ) akiwasili nchini akitokea Italy kulia ni meneja wake nchini Italy Wactor Fizio walipowasili nchini Tanzania

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams
MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams katikati akilakiwa na baadhi ya warembo waliojitokeza kumpokea msanii huyo

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams akiwa ameshikwa mkono na meneja wake wa Tanzania Mcdennis Mgatha


Na Mwandishi Wetu

MSANII wa mziki wa bongo fleva Remmy Williams anaefanya shughuli za mziki nchini Ital ameingia nchini jana na kutua

jijni Dar es salaam kwa ajili ya kufanya kazi na wasanii wenzake nchini

Akizungumzia ujio wake mara baada ya kutua uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu julius nyerere Dar es salaam

anasema kuwa nawapenda wasanii wote wa Tanzania wanavyofanya vema nchini na kazi zao nyingi zinavuka mipaka kwa

ajili ya kujitangaza kimataifa

ata hivyo yeye amejitokeza kuupaisha mziki huo kwa kushirikiana na wasanii atakaochaguliwa kushirikiana nae

akizungumzia ujio wa msanii huyo meneja wake nchini Mcdennis Mgatha amesema msanii huyo kaja nchini kwa ajili ya

kufanya colab na wasanii hapa nchini hivyo wapenzi wa mziki wakae mkao wa kula

kwani ana vitu vingi sana alivyo waandalia ikiwemo nyimbo mpya pamoja na kufanya shoo kwa ajili ya kutambulisha

nyimbo hizo


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...