Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 12, 2014

TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) NA TASISI YA VIWANGO TANZANIA (TBS) ZAKUBALIANA KUFANYA KAZI PAMOJA.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akimkabidhi ripoti ya Kamati ya pamoja ya mashirikiano Mhe. Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi (alie simama) akizungumza katika Mkutano wa uzinduzi wa kamati ya mashirikiano ya (TBS) na (ZBS) kulia ni Mkurugenzi Mkuu ZBS Bwa. Khatib Mwalim na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Viwango TBS Bwa. Leandr Kinabo.
Mwenyekiti wa kamati ya pamoja ya mashirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na la Zanzibar (ZBS) Bwa. Suleiman Masoud Makame akiitambulisha kamati ya watalamu yenye wajumbe nane wanne kutoka Bara na wane Zanzibar kwa Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika Mkutano uliofanyika Amani Zanzibar.
Baadhi ya watendaji wakuu wa tasisi mbili wakiskiliza nasaha za Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi (hayupo pichani) mara baada ya kuizindua Kamati yawatalamu katika Mkutano uliofanyika ofisi ya Viwango Amani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Thuwaiba Edington Kisasi katika picha ya pamoja na watenandaji wa Tasisi mbili zinazoshuhulikia ubora wa viwango Tanzania. (Picha na Makame Mshenga wa Maelezo-Zanzibar).

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...