Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 4, 2014

BOMOABOMOA KITUO CHA DALDALA MWENGE



 Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo
 Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa
 Ulinzi ukiwa umeimarishwa
 Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge

 Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa
 Mmoja wa Mgambo akiwa amebeba Meza kupeleka eneo husika Tayari kwa kuzikusanya kuzipeleka eneo husika
 Kazi ya Ubebaji Meza na Mabaki ya Vibanda ikiendelea
 Moja ya eneo ndani ya Mwenge walipo hifadhi baadhi ya Meza za Biashara
 Bomoa Bomoa ikiendelea upande wa Juu Mwenge
 Hapa walikuwa wanabomoa Sehemu zote za vibanda zilivyo zidi mbele
 Mgambo anafanya kazi bila Air Mask wakati kazi inaendelea ya Bomoa bomoa
 Ulinzi ukiwa umeimarishwa kila sehemu
Hali Halisi baada ya eneo hilo kubomolewa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...