Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 27, 2014

MKUTANO MKUU WA CUF WACHAGUA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA UONGOZI WA TAIFA


Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif, akitumbukiza kura yake kuchagua wajumbe wa Baraza Kuu la Taifa la Uongozi, Kanda ya Mashariki uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CUF, wakifuatilia mkutano huo.
Baadhio ya wagombea wa nafasi ya ujumbe katika Mkutano mkuu wa CUF Taifa, wakijiandaa kuomba kura. 
Vijana wa Uhamasishaji wa Chama cha CUF, wakitoa burudani wakati wa Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, jana.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...