Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, November 5, 2013

KUTOKANA NA MATATIZO YA UFUNDI KIJIWE CHA UGHAIBUNI KURUSHWA KESHO JUMATANO


Washiriki wa kijiwe cha ughaibuni wakichangia hoja kwenye kipindi cha Kijiwe cha Ughaibuni kilichorekodiwa New York Jumamosi Oct 26, 2013 na kitaenda hewani kesho Jumatano November 6, 2013 badala la leo Jumanne kutokana na matatizo ya ufundi yaliyokuwa nje ya uwezo wetu Kruu nzima ya Kijiwe cha Ughaibuni tunaomba radhi kwa usumbufu wote utakaotokea.
Mambo yalikuwa kama hivi unavyoona kwenye picha mjadala ukiendelea.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...