Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, November 24, 2013

STARTIMES KUBURUDISHA WATEJA WAKE MSIMU HUU WA SIKUKUU


  Meneja Mauzo wa Channel wa Kampuni ya Star Times Bw.David Kisaka kushoto akiongea na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhusu kuwazawadia wateja wake kwa njia mbalimbali ikiwemo simu za mkononi,fulana,mafuta ya kupikia, pamoja na mchele kipindi hiki cha msimu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka
logoSTAR MEDIA (TANZANIA) LIMITED
 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

For immediate release                  

STARTIMES KUBURUDISHA WATEJA WAKE MSIMU HUU WA SIKUKUU
22 Novemba2013,Dar-Es- Salaam:
Kampuniinayoongoza Tanzania katika TV zadigitali, Star Media Tanzania inayojulikanakama “StarTimes” inayoendeleakuburudishanakuelimishamamiayamaelfuyaWatanzaniainatangazauzinduziwapromosheniyakeyamsimuwasikukuukuanzia18 Novemba 2013 hadimwishowaJanuari 2014.
"Tungependakuwazawadiawatejawetuwamudamrefuna wale wapyakatikamsimuhuuwasikukuukwakuwapamachaguomengizaidiyavituovinavyoangaliwasana, pamojanazawadinyinginezo. WatejawatakapowekaTsh 80,000 katikapromoshenihii, watapatasimuyamkononiyenye line mbiliainaya M35 StarTimesambayoinatoahudumaya TV zadigitalipopoteulipo.'' alisemaKaimuAfisaMtendajiMkuuBw. Jack Zhou.
WatejawaStarTimespiawatapewamwezimmojawaburewakuangaliakifurushi cha juuzaidi “Kili” chenyethamaniyaTsh 40,000 watakaponunuaking’amuzi. ZawadinyinginewatakazopatawatejawatakaowekaTsh 40,000 nipamojanafulana, mafutayakupikia au mchele.
Mr Zhou alielezeazaidiahadiyaStarTimesyakuwatumikiaWatanzaniakwakuwapatiamatangazoyadigitaliyenyeuborawahaliyajuukatikamahitajiyaainambalimbali.
"Tunaonafaharikuwanazaidiyavituo 70 nahivikaribunitumeongezavituovitatuvyaFilamuviitwavyo, Star One ambachohuonyeshafilamuzilizotokahivikaribunizikiwemozilizofanyavizurikimauzo Hollywood, Star Movie 1 + 2, na Star Africa ambachohuonyeshafilamuzaKiafrika.” AliongezaBw. Zhou.
VituovinginenipamojanaSentanta Action ambayoitakuwakivutiokwamashabikiwandondina FLN (Fine Living Network), ambayoitalengamasualayoteyamienendoyamaishayakisasa.Watotowataburudishwanakuelimishwakupitia "Jim Jam" namatangazoyataarifazahabariyatapatikanakwenyevituoviwilivilivyoongezwahivikaribuni, Fox News na Bloomberg.
KatikakutimizaahadiyaStarTimesyakuongezavipindikutokanyumbani, SibukaMaishaitakuwainarushamchezowakuigizawa Kiswahili- 'High Heels" mwanzonimwaDesemba. Ili kupatakituohii, watejawatatakiwakulipanyongezayakilamweziyaTsh 3,000 tu.
Katikahatuanyingine, StarTimesinapanuahudumazakekwendamikoamitatuzaidi, ambayoniMusoma, TaboranaSingida.
HukoMusoma, TaboranaSingida, matangazoyakohewanikwasasawakatihukoKahamanaBukobawatazamajiwatawezakupokeahudumazaStarTimesmwishonimwaNovemba.
HiiitafanyaidadiyaofisizaStarTimeskufikia 14 nakuifanyaStarTimeskuwanikampuniya kwanza ya TV zadigitalikufanyashughulizakekatikamikoamingizaidinjeyaDar es Salaam.
TanguStarTimesilipozinduliwanchini Tanzania, kampuniimewekezazaidiyaDolazaKimarekanimilioni 265 nainabakiakuwakampuniyaving’amuziinayopendelewazaidinawatumiajiwamajumbani. Utawala wake katikasokoniushahidiwahudumazakezahaliyajuukwawatejanaorodhayakendefuyavituo.

KUHUSU STARMEDIATANZANIA
Star Media (Tanzania) Limited (jina la biashara - "StarTimes") ilizinduliwanchiniTanzania mwaka2009.Imewekaniayakuiwezeshakila kaya nchini Tanzania iliiwezekupatamatangazoya TV yadigitalikwabeinafuu, yenyeuboranawawezekuyafurahia.
WatejawanawezakupataStarTimesnchinikotekwakupitiaving’amuzinakwaDar es Salaam naArusha, wanawezapiakupatakwakupitiasimuzamkononi, TV ndogona TV zakwenyemagari.
Star Media mpakasasaimetengenezaajira370 zamojakwamojanaajira1750kwanamnanyingine.
Ni sehemuyaStar Media; kampuniinayoongozakatikakutoahudumazaTV zadigitalinchini China. Star Media inakampuni10 baraniAfrika: Kenya, Burundi, Tanzania, Guinea, Nigeria, Uganda, Rwanda, Afrikaya Kati, Msumbijiand DRC. HivikaribuniitafunguakampuniAfrikayaKusini, Malawi naGhana.

KWA MAWASILIANO:
David Kisaka
Simu: 0717073495    
Baruapepe:davidkisaka@yahoo.com
Kwamaelezozaiditembelea:www.startimes.co.tz/ kwenyeface book natwitter:TZStarTimes






No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...