Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, November 16, 2013

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WANANCHI KUAGA MWILI WA DKT.SENGONDO MVUNGI JIJINI DAR LEO


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, Dkt.Sengondo Mvungi, wakati wa shughuli ya kuagwa mwili huo iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam,leo.
 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, Dkt.Sengondo Mvungi, wakati wa shughuli ya kuagwa mwili huo iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam,leo.
 Mwili ukiwasili kwenye viwanja vya Karimjee.....
 Mwili ukuwasili kwenye Viwanja vya Karimjee.....
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza kutoka salamu za rambi rambi, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu, Dkt.Sengondo Mvungi,kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam,leo.
 Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, akilishwa Sakrament wakati wa shughuli hiyo kwenye Viwanja vya Karimjee.
 Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Jaji Warioba,akizungumza wakati wa shughuli hiyo....
 Meza kuu ya wachungaji walioendesha shughuli hiyo...

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...