Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, November 23, 2013

Zitto Kabwe apigwa 'stop' CHADEMA


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioFQ_G3ue8s2BuklomEun4ziN91MLi0sruyCIf5QqQJ8_ey9NqMb7tMdeiveyOqIXT5vfxGlgwCyUKideZaZLBGq7YKh5dBv0aMlV1iX-Wz3CX0q66niC_9e61iuowmRqz8PIaNCGW3CE/s1600/chadema.jpg
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeeman Mbowe akizungumza kwenye kikao hicho (Picha:CHADEMA Blog)
TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa CHADEMA kimeamua kumsimamisha na kumvua nyadhifa zote aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini na wamempa muda wa saa 78 kujieleza kwa nini asifukuzwse chamani kimoja.
MICHARAZO inafuatilia kwa kina na itawafahamisha, hii ni ikiwa ni maamuzi ya kikao cha Kamati kuu ya chama hicho kilichoanza kukutana tangu juzi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...