Msanja Mkandamizaji aliwakusanya watu kutoka mikoa mbalimbali waliofika kushuhudia uzinduzi huo. Wasanii wa filamu za kibongo kutoka Dar es Salaam walifika mahali pale kama. Odama, Ray, steve Nyerere, Davina, Chopa Mchopanga, Jacquline Wolper na wengine wengi walifika mahali pale.
Mbali na uimbaji masanja Mkandamizaji ni mchekeshaji katika kituo cha televisheni cha TBC1 "Orijino ze Commedy", kutokana na karama hiyo ya uchekeshaji amepata kibali cha kukubalika katika jamii.
Masanja kwa sasa anajiita "Mchungaji Mtarajiwa" anategemea kuwa mchungaji lakini anasema hajui itakuwa saa ngapi, siku gani na wapi ataanza huduma hiyo, ila anakuomba uzidi kumuombea.

Masanja akisindikizwa na waimbaji mbalimbali kutoka Iringa na mikoa mingine katika uwanja wa samora mjini Iringa



Masanja Mkandamizaji na gwaride lake wakiingia jukwaani

Waimbaji wakiwa pamoja na Masanja Mkandamizaji aliyeshika ubao kama alama ya bunduki


JB toka bongo movie akitoa support kwa kununua DVD na Audio Cd

Tayari hapa Mgeni rasmi Mulugo amsehazindua

Naibu Waziri wa Elimu Milubo akizindua DVD na VCD

Baadhi ya viongozi wa Elimu wakiwa na mgeni Rasmi

Kundi la Bongo Movie kutoka Dar es Salaam waliofika ku-support kazi ya Emmanuel Mgaya

JB wa Bongo Movie akiwa ameshika kibaza sauti pamoja na waigizaji wenzake

Jacquline Waolper akiwa na furaha kuona tamasha linaenda vizuri

Vicent Kigosi (Ray) akisalimia wakazi wa Iringa

Steve Nyerere akitambulisha wakazi wa Iringa kikundi cha Bongo Movie

Masanja Mkandamizaji akisoma risala
No comments:
Post a Comment