MAKAMUZI YA BENDI YA EXTRA BONGO YALIVYOPAGAWISHA MASHABIKI DAR LIVE
Kiongozi wa bendi hiyo, Ally Choki, akiimba. BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ya jijini Dar es Salaam jana
iliwapagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani
wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar es Salaam.
…Ally choki akimpiga tafu ya kunengua mnenguaji wake. Kiongozi wa wanenguaji, Super Nyamwela (katikati) akinengua. Rapa wa bendi hiyo, Saigon, akionyesha umahiri wake wa kurap ukumbini hapo.
No comments:
Post a Comment