Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, November 1, 2013

Airtel yaipiga tafu Mpinga Cup 2013


Kamanda Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, ACP Jehansen Kahatano (wa pili kushoto) akipokea mipira itakayotumika kwenye mashindano ya Mpinga Cup 2013 kutoka kwa  Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando (wa pili kulia), pamoja na Rais wa Be forward Tanzania, Hironori Yamakawa (kushoto). Katika makabidhiano hayo Airtel pia ilikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano kudhamini mashindano hayo ya Mpinga Cup. Anaeshuhudia ni Mkuu wa usalama barabarani kanda ya Dar es salaam, ACP Amiri Konja.
  KamandaACP Jehansen Kahatano akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando iliyotolewa leo kwa dhumuni la kudhamini mashindano ya mpira wa miguu kwa waendesha pikipiki maarufu kama Mpinga cup. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...