Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 4, 2013

Binti wa Carren Mgonja apata Kipaimara cheki party yake



 

Carrenflora Mgonja wa kundi la wajasiliamali wa kikundi cha Habari Group akiwa na mumewe Patson Mlandali wakati wa kumfanyia part ya kipaimara bint yao Elizabet iliyofanyika katika ukumbi wa Abiola Buza Dar es salaam jana
Washereheshaji wa shughuli hiyo Anti Latifa kushoto na Sakina Lioka wakiwa na CArren Mgonja wakati wa sherehe ya mwanae
Elizabet
kutoka kushoto Hellen Mwango na Somoe N,gitu wafanyakazi wenzie
WAZAZI WAKICHEZA MZIKII
WAZAZI WAKITOA NENO LA KUWAKARIBISHA WAGENI

Carrenflora Mgonja

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...