Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 31, 2012

Kamanda Aggrey Marealle arudisha fomu ya kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM


Mjumbe  wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), na Kamanda wa Vijana Wilaya ya Moshi mjini, Aggrey Marealle (kushoto) akirudisha fomu kwa Katibu wa CCM wilaya ya Moshi mjini, Allu Ismaili ili kugombea Ujumbe wa NEC ya CCM. Hafla hiyo ilifanyika katika Ofisi za CCM Wilaya ya Moshi mjini. (Na Mpiga Picha Wetu)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...