Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 24, 2013

Kikosi cha wachezaji wa Airtel Rising Star Tanzania chawasili nchini kikitokea jijini Lagos Nigeria


Mabigwa wa michuano ya Airtel Rising Stars Afrika kwa upande wa wasichana Timu ya Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana usiku.
Kikosi cha timu ya Airtel Rising Stars cha Tanzania wakiwa kwenye Bus tayari kwenda hotelini mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Julius Kambarage nyerere jana usiku.
Mzazi wa mchezaji wa kike, Donisia Daniel  akimpokea mwanae kwa furaha.
Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (mwenye rasta) akiwalaki wachezaji  mara baada ya kuwasili kutoka katika michuano ya Airtel Rising Stars nchini Nigeria. Pichani ni baadhi ya watu waliojitokeza usiku huo kuwapokea wachezaji hao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...