Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 28, 2014

WAREMBO MISS TABATA 2014 WAJIFUA DAR WEST PARK


 Warembo wanaoshindania miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi ya shindano hil. Mashindano haya ya Miss Tabata 2014 yatafanyika kwenye ukumbi wa Dar West Park.
 Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa watokelezea kwenye pozi tofautitofauti wakati wa mazoezi yanayoendelea eneo la Tabata Dar West Park.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la  Miss Tabata 2014 wakiwa kwenye mazoezi.
Ilifika kipindi cha kutoa burudani ilikuwa ni noma sanaaaaaa!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...