Waziri
wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) (katikati) akiwa katika picha ya
pamoja na viongonzi mbalimbali wa Serikali pamoja na mwakilishi wa Wadau
wa Maendeleo nchini Bw. Richard Martini (kulia kwake) baada ya kumaliza
hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Teknolojia, Habari na Mawasiliano
(TEHAMA) kwa baadhi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali
iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.
Marquee
tangazo
Sunday, March 23, 2014
BAADHI YA WIZARA, IDARA NA TAASISI ZA SERIKALI ZAPEWA VIFAA VYA TEKNOLOJIA, HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment