Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, September 26, 2014

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA JUMAMOSI SEPTEMBE 27 KESHO

 Bondia Nasibu Ramadhani Kushoto akitunishiana misuli na Mohamed Matumla baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho jumamosi september 27 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BLOG
Mratibu wa mpambano wa ngumi Ibrahimu Kamwe katikati akiwangalia mabondia wa kike Lulu Kayage kushoto na Fatuma Yazidu wanavyo tunishiana misuli baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao
Lulu Kayage na Fatuma Yazidu wakitambiana baada ya kupima uzito
Bondia Nassibu Ramadhani akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Mohamedi Matumla

Mohamed Matumla akipima uzito
Bondia Nassibu Ramadhani na Mohamed Matumla wakinuliwa mikono juu na Mratibu wa mpambano huo Ibrahimu Kamwe katikati  mpambano utakaofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Frends Corner Manzese picha na SUPER D BLOG
Bondia Juma Fundi na Issa Omari wakinuliwa mikono juu na Mratibu wa mpambano huo Ibrahimu Kamwe katikati  mpambano utakaofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Frends Corner Manzese picha na SUPER D BLOG
Bondia Lulu Kayage akipimwa na Daktali baada ya kupima uzito kushoto ni m,pinzani wake Fatuma Yazidu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...