Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, September 18, 2014

TAMASHA LA UTALII NA MIAKA 4 YA BLOG YA VIJIMAMBO


Mhe. Lazoro Nyalandu Waziri wa Maliasili na Utalii akiingia ukumbini huku akiongozana na Mhe. Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania nchini Marekani kushoto ni Luke Joe ambaye ni mwendeshaji wa Blog ya Vijimambo siku ya Jumamosi Sept 13, 2014 katika ukumbi wa Crowne Plaza iliyopo Rockville, Maryland nchini Marekani.
Mhe. Lazaro Nyalandu ambaye ndiye aliyekua mkeni rasmi akifurahi jambo siku ya Tamasha la Utalii na miaka 4 ya Blog ya Vijimambo kulia ni Luke Joe mwendeshaji wa Blog ya Vijimambo.
Kutoka kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula, Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu na Luke Joe wakibadilishana mawili matatu siku ya Tamasha la Utalii na miaka 4 ya Blog ya Vijimambo iliyofanyika Jumamosi Sept 13, 2014 Rockville, Maryland nchini Marekani.
Mhe. Lazaro Nyalandu, Mhe. Liberata Mulamula na Luke Joe wakipitia vibanda vya wajasiliamali mara na kuangalia kazi zao wazifanyazo.
Mhe. Lazaro Nyalandu akiongozana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Luke Joe wakipitia vibanda vya wajasilia mali mara tu Waziri wa Maliasili na Utalii alipoingia kwenye Tamasha la Utalii na miaka 4 ya Blog ya Vijimambo.Picha zote na Iska Jojo
Kwa picha zaidi bofya HAPA

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...