Marquee
Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!
tangazo
Sunday, September 7, 2014
MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA DR.KHAMIS KINGWANGALLAH ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya serikali za Mitaa na Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangallah akitangaza nia yake ya kugombea urais waJamhuri ya Muungano ya Tanzania wakati alipokutana na waandishi wa habari kwenye ambapo amesema hajasukumwa na mtu yeyote ila ni yeye mwenyewe ameamua kwa moyo wake.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya serikali za Mitaa na Mbunge wa jimbo la Nzega Dr. Khamis Kigwangallah
akimtambulisha mke wake Dr Bayoum Awadh wakati wa mkutano huo
.
Mchungaji Patrick Saso akifanya maombi kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
Sheikh Abubakary Mwita akiomba dua kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment