Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, September 20, 2014

MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMAJARO (KINAPA).


 Warembo wanaoshiriki shindano la Miss Tanzania 2014 wakipozi kwa picha wakati walipotembelea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni warembo hao wakipiga picha na mdau mkubwa wa masuala ya urembo mkoani Kilimajaro, Athena Mawalla wa mgahawa wa Meku's Bistro wakati warembo hao walipomtembelea wakiwa njiani kwenda KINAPA.
 Warembo wakiwa katika gari njiani kuelekea KINAPA. 
 Afisa Habari wa Kamati ya Miss Tanzania, Hidan Rico (kulia) akitoa maelekezo baada ya kufika Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimajaro.
 Warembo wakipanda kuelekea geti kuu la kupandia Mlima Kilimanjaro.

 Viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja.
 Eliud Bemba ambaye anaongoza timu ya utayarishaji Vipindi maalum vya warembo hao kutoka True Vision akichapa picha na walimbwende.
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro, Erastus Lufungulo akitoa maelezo ya mlima huo kwa warembo wa Miss Tanzania. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...