Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, July 14, 2013

BENKI YA CRDB YAFUTURISHA WATEJA WAKE MJINI ZANZIBAR



Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB ya Benki, TullyEsther Mwambapa akizungumza katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake.
 Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Zanzibar Machano Othman Said akizungumza wakati wa hafla ya kufuturisha wateja wa benki ya CRDB iliyofanyika mjini Zanzibar.
 Wadau mbalimbali wakipata futari.
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB wakijumuika pamoja.
Baadhi ya wateja wa benki ya CRDB katika hafla ya kufuturisha.
Baadhi ya wateja wa benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Zanzibar Machano Othman Said akizungumza katika hafla hiyo.
Meneja wa benki ya CRDB tawi la zanzibar, Nassor Uzigo akipata Chai.
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB wakishiriki katika hafla ya kufuturisha iliyofanyika mjini Zanzibar.
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB pamoja na wateja wakipata futari.
 Baadhi ya wateja wa benki ya CRDBwakipata futari.
Wadau wakipata futari.
 Meneja Mahusiano wa Benki  ya CRDB, Godwin Semunyu akigawa futari kwa wateja wa benki hiyo katika hafla ya kufuturisha iliyofanyika katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort
Wateja wa benki ya CRDB wakipata futari.
 Wadau mbalimbali wakipata futari.
 Meneja wa benki ya CRDB tawi la Zanzibar, Nassor Uzigo lililopo eneo la Mkunazini mjni Zanzibar akipata chai wakati wa hafla ya kufuturisha  iliyoa andaliwa na ben
Sheikh akiomba duah.
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Zanzibar Machano Othman Said akishiriki katika uomba dua wakati wa hafla hiyo.
Picha ya pamoja.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB pamoja na wadau wa benki hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwaza wa Rais Fatma Abdull Habib Fereji (wa tatu kulia) 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwaza wa Rais Fatma Abdull Habib Fereji (kulia) akizungumza mara baada ya hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki ya CRDB mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB ya Benki, TullyEsther Mwambapa (wa pili kushoto) akimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwaza wa Rais Fatma Abdull Habib Fereji wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki ya CRDB kwa ajili ya wateja wake.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...