Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 8, 2013

PAMBANO LA HALIMA MDEE NA JACQUELINE WOLPER HAKUNA MBABE


 Mbunge wa Kawe Halima Mdee (kushoto) akichana na Msanii wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper, wakati wa Tamasha maalum la Usiku wa Matumaini, lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika pambano hilo Mabondia hao walitooka sare kwa pointi.
 Bondia Halima Mdee akiingia kwa mbwembwe.
Wolper akipanda ulingoni kwa mbwembwe.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...