Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, July 10, 2013

MIAKA 10 YA MAFANIKIO YA MFUKO WA UWEKEZAJI TANZANIA UTT


Dhamana ya Uwekezaji Tanzania ilianzishwa tarehe 19 juni, 2003. Tangu kuanzishwa kwake, Dhamana ya Uwekezaji Tanzania imeendelea kutekeleza madhumuni yake. Mojwapo ya madhumuni ya Dhamana ya Uwekezaji Tanzania ni kuanzisha na kuendesha mifuko ya uwekezaji wa pamoja hapa nchini. Katika kufanikisha madhumuni yake, Dhamana ya Uwekezaji Tanzania imeweza kupata mafanikio ya kuanzisha mifuko mitano ya uwekezaji wa pamoja, ambayo hadi kufikia tarehe 08/07/2013 imekuwa na jumla ya wawekezaji hai wapatao 91,516.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Hamis Kibola akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu shughuli za mfuko huo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2003 ambapo unatimiza miaka 10. Kushoto ni Kaimu Ofisa Uendeshaji Mkuu Uwekezaji, Rashid Mchatta. 
 CEO, Hamis Kibola akifafanua jambo.
 Ofisa Uendeshaji Mkuu, Asset Management & Investor Services akifafanua jambo.
 Dk. Gration Kamugisha Acting CEO, Project
 James Washima akifafanua jambo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...