Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 26, 2013

FRANCIS MIYEYUSHO ASAINI MKATABA KUZIPIGA DAR LIVE IDDI MOSI


Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitia saini mkataba wa makubaliano ya kucheza siku ya sikukuu ya Idi mosi na Darius Lipupa wa Zambia mpambano utakaopigwa katika ukumbi wa Dar Live kushoto ni Rais wa TPBO LIMITED Yassin Abdallah 'Ostadhi'  PICHA NA BLOG YA SUPER D

Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitia saini ya Dole Gumba  mkataba wa makubaliano ya kucheza siku ya sikukuu ya Idi mosi na Darius Lipupa wa Zambia mpambano utakaopigwa katika ukumbi wa Dar Live kushoto ni Rais wa TPBO LIMITED Yassin Abdallah 'Ostadhi'  PICHA NA BLOG YA SUPER D

Rais wa TPBO LIMITED Yassin Abdallah 'Ostadhi' kushoto akimkabidhi kiasi cha pesa bondia Fransic Miyeyusho kama sehemu ya maandalizi ya mpambano wake utakaofanyika siku ya Sikukuu ya Iddi katika ukumbi wa Dar Live PICHA NA BLOG YA SUPER D

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...