Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, July 6, 2013

SUPASTAA DIDAH AOLEWA KWA MARA YA NGAPI VILE???


KATIKA KILE AMBACHO wachunguzi na watafiti wa kisayansi wa blog hii wanaona kwa kweli ni inshu iliyojaa mafunzo mengi kwa wananchi wa nchi hii NA HASA WADADA MASUPASTA, mdada msanii na mtangazaji maarufu pichani ameolewa kwa mara nyingine tena, kama kawaida wambeya wanadai chuo cha tatu, blog hii inampa hongera kwa kuweza kutimiza kuishi kiheshma. Haya tena wengine vipi???????????????Au bahati hakuna?????????Au namna gani vipi?
Blog hii inamtunukia Tuzo la Chekana kitime 2013 Makooooffiiiiiii

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...