katika majengo nchini wakati wa mkutano wa bodi ya Usajili wa Makandarasi ( Contractors Registration Board (CRB) ambapo pia bodi hiyo ilikuwa ikiadhimisha miaka kumi na tano tangu kuanzishwa kwake. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na makandarasi takribani 800 kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini, Dkt. Kazaura aliwaeleza nia ya TTCL kusambaza mawasiliano ya kazi katika majengo mbalimbali hapa nchini na kuomba ushirikiano wa hali ya juu kutoka kwa makandarasi kujenga majengo ambayo yatakuwa yamewezeshwa tayari kuunganishwa na huduma za mawasiliano ya kasi ” Broadband Ready Buildings”.
Marquee
tangazo
Monday, May 27, 2013
AFISA MTENDAJI MKUU WA TTCL DKT. KAMUGISHA KAZAURA ATOA MADA KUHUSU MKAKATI WA TTCL KUSAMBAZA MAWASILIANO YA KAZI KATIKA MAJENGO NCHINI
katika majengo nchini wakati wa mkutano wa bodi ya Usajili wa Makandarasi ( Contractors Registration Board (CRB) ambapo pia bodi hiyo ilikuwa ikiadhimisha miaka kumi na tano tangu kuanzishwa kwake. Katika mkutano huo uliohudhuriwa na makandarasi takribani 800 kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini, Dkt. Kazaura aliwaeleza nia ya TTCL kusambaza mawasiliano ya kazi katika majengo mbalimbali hapa nchini na kuomba ushirikiano wa hali ya juu kutoka kwa makandarasi kujenga majengo ambayo yatakuwa yamewezeshwa tayari kuunganishwa na huduma za mawasiliano ya kasi ” Broadband Ready Buildings”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment