Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 18, 2014

MAZOEZI YANAENDEREA KAMBI YA NGUMI ILALA


Bondia bingwa wa mkanda wa WPBF Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanya mazoezi ya kupiga beg katika kambi ya Ilala iliyopo Amana Ccm Dar es salaam jana Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia bingwa wa mkanda wa WPBF Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanya mazoezi ya kupiga beg katika kambi ya Ilala iliyopo Amana Ccm Dar es salaam jana Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Lulu Kayage akielekezwa jinsi ya kupiga upcat na kocha Kondo Nassoro katika mazoezi yanayoendelea kambi ya Ilala Amana Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Biglee wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Amana CCM Ilala Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Juma Biglee kushoto akipambana na Ibrahimu Class 'King class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Amana Ilala CCM Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...