Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 18, 2014

SUPER D AWAKUTANISHA MABONDIA WAKE NA WADAU KATIKA FUTARI

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akifuturu pamoja na mabondia na wadau wa mchezo huo wa pili kushoto ni Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' Birali Ngonyani, Shomari Mirundi, Raymond Mbwago wakati wa futari iliyoandaliwa na kucha huyo nyumbani kwake Rozana Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baadhi ya waumini wa dini ya kislam wakiomba duwa baada ya kufuturu katika futari iliyoandaliwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' mwenye kibagarashia na kanzu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mabondia na wadau mbalimbali wakifurahia futari iliyoandaliwa na kocha Super D
Watoto nao awakuwa nyuma wakifuturu pamoja wakati wa futari iliyoandaliwa na kocha super d
Futari ikienderea
baadhi ya wadau wakifutari kushoto ni Abdallah Magonza, Ammy Jay, Issa Meza

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akifuturu pamoja na mabondia na wadau wa mchezo huo wa pili kushoto ni Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' Birali Ngonyani, Shomari Mirundi, Raymond Mbwago wakati wa futari iliyoandaliwa na kucha huyo nyumbani kwake Rozana Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha Rasjabu Mhamila 'Super D' katikati mwenye kibagarashia na kanzu akiwa katika picha na baadhi ya mabondia na wadau wa mchezo wa masumbwi baada ya kufuturu nyumbani kwake rozana Dar es salaam
Kocha Rasjabu Mhamila 'Super D' katikati mwenye kibagarashia na kanzu akiwa katika picha na baadhi ya mabondia na wadau wa mchezo wa masumbwi baada ya kufuturu nyumbani kwake rozana Dar es salaam kutoka kulia ni Birali Ngonyani,Ibrahimu Class, Mohamed Sadiq, Raymondi Mwago wa pili kushoto na aliyechuchumaa ni Shomari Mirundi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
WADAU WAKIPIGA PICHA YA KUMBUKUMBU NA KOCHA SUPER D
WADAU WAKIPIGA PICHA YA KUMBUKUMBU NA KOCHA SUPER D

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...