Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, July 27, 2014

MWIGULU NCHEMBA ALIVYOLITEKA JIJI LA MWANZA


 Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, akiwasili kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, kuhutubia mkutano wa hadhara, uliofanyika leo jioni. Katika Mkutano huo, Mwigulu amezungumzia mambo mbalimbali ikiwemo, umuhimu wa wanasiasa na Watanzania kwa jumla kutolifanyia mzaha suala la mchakato wa Katiba mpya akivitaka vyama vya upinzani kuthamini zaidi vikao vya Bunge la Katiba ili kukamilisha mchakato huo kwa mazungumzo na mjadala uliojaa hekima badala ya kwenda mitaani kusumbua wananchi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...