Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, November 23, 2011

BENKI YA POSTA YAZINDUA HUDUMA YA "TPB POPOTE"


Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo (katikati) akibonyeza simu ya mkononi ikiwa ni ishara ya kuzindua huduma ya TPB POPOTE, ambayo inamwezesha mteja kupata taarifa mbalimbali, kununua muda wa maongezi, luku na kutuma na kuweka fedha. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, ambaye anaangalia Projector ili kuangalia taarifa za Waziri Mkulo na kulia ni mfanyakazi wa benki hiyo. Uzindunzi huo ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo. PICHA NA MAGRETH KINABO - MAELEZO
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, akizungumzia kuhusu uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo
Kikundi cha burudani cha Simba Theatre akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa baada ya uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, ( kushoto) akimsikiliza kwa makini Posta Master Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, John Mndeme(kulia ) anayesisitiza jambo mara baada ya uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Posta Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa watendaji mara baada ya uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika leo kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...